Tuesday, May 10, 2016

Kiungo wa klabu ya benfica na timu ya taifa ya ureno, aliyekua akiwaniwa na klabu kubwa ikiwemo Manchester united na bayern munich sasa amewaziba midomo mashabiki na bodi ya ufundi ya Manchester united baada ya kujiunga rasmi na klabu ya nchini ujerumani bayern munich kwa euro 35m maelezo zaidi tembelea https://www.fcbayern.de/en/news/news/

 

No comments:

Post a Comment